Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Taswira: Umati wa watu wamsindikiza kwa nyimbo Mh Lema toka Mahakamani hadi ofisi ya Chadema Arusha leo baada ya rufaa yake kuahirishwa

DSC05738Godbless Lema anaepinga kuenguliwa ubunge wake na Mahakama Kuu kanda ya Arusha akijiandaa kuingia katika usafiri wake kuondoka katika viwanja vya Mahakama Kuu Arusha asubuhi ya leo

DSC05655Umati wa watu nje ya uzio wa Mahakama Kuu Arusha kumlaki Mh Lema akitoka Mahakamani

DSC05657Msafara unaondoka, haikuwa rahisi kuwazuia watu hawa kusindikiza gari ya Mh Lema

DSC05660Waanausalama wapo kazini, nyuma ya msafara

DSC05667

DSC05672Msafara umeingia Old Moshi Road kuelekea Ngarenaro. Wananchi hawa walijawa na furaha na kujikuta wakiimba nyimbo za mashujaa kwa sauti huku wakipeperusha matawi ya miti na majani

DSC05679Baadhi ya wananchi walioamaua kutangulia Ofisini

DSC05686Msafara unakatiza mitaa ya Jiji kuingia mjini kabisa

DSC05693

DSC05691Wananchi hawa walikuwa wamejipanga kando ya barabara na kujikuta wameshindwa kujizuia hisia zao

DSC05704Wanawasili eneo zilipo ofisi za Chadema, Ngarenaro

DSC05699Gari iliyombeba Lema ikiwa imezingirwa ofisini hapo mara baada ya kuwasili

DSC05723Wakiitikia “Peoples Power” iliyoimbishwa na Lema ambae haonekani pichani

DSC05730Kamanda wa Chadema mjini Arusha maarufu kama Omari Matelephone akiwa amejitupia pamba zake zenye nakshi ya rangi zinazopatikana katika bendera ya chama hicho.

DSC05721

PICHA ZOTE NA CHRISTOPHER MBAJO, KAMANDA WA CHADEMA ARUSHA

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

5 maoni:

Hildagarda said...

aisee no comeent anayebisha kuwa chadeama hipendwi Ar akabishie chumbani kwake siyo hadaharani, Peoplessssssssssssss

Mathias said...

Nawapongeza wanavipatu wote kwa kuwa hewani!

Unknown said...

Hildagarda....wewe ni noma, umeona eeh, washenzi watakuja na story zao za kipumbavu eti wananchi walihongwa....nyoooo upuuzi mtupu, uhonge wali maharage watu wenye akili.....wapeleke huko huko kwa magamba yao......Lema ni mbunge halali wa Arusha mjini, hata wafanyeje walishashindwa tu.

Anonymous said...

Mi mwenyewe nakubali!!Chadema iko mbeleee...hata hiyo kesi atashinda manake ni kesi ya ku2nga 2!!

Anonymous said...

Mimi nataka hilo gari la Lema kama anauza nipo tayari kununua, Nani ataniulizia kwake jamani nawaombeni sana msaada wenu.

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO