Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Yah: Fao la kujitoa

kurejeshwa fao la kujitoa

“...sauti ya umma imeshinda tena leo bungeni...suala la 'MAFAO YA KUJITOA' ambalo wafanyakazi walio wengi walilipinga leo limepata ufumbuzi wenye kujali matakwa ya wengi na serikali imekubali yaishe...sasa serikali itoe pia tamko kuwarudisha kazini wafanyakazi wote ambao walifukuzwa makazini kwa kuhoji kuhusu suala la mafao ya kujitoa kuzuiliwa ghafla na serikali,na hasa wafanyakazi wa migodini ambao ndio walikuwa kati ya waathirika wakubwa wa sakata hili...” - Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA)

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO