Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: SAFARI LAGER WAKISHEREHEKEA USHINDI WAO NA WAHESHIMIWA WABUNGE MJINI DODOMA

Mgeni Rasmi kwenye hafla ya Kupongeza Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Anne Makinga (katikati) akiwa amenyanua juu moja ya vikombe vya ushindi huo ikiwa ni ishara ya kuzindua ziara Bia hiyo katika mikoa mbali mbali hapa nchini ili kuwaonyesha Watanzania ushindi huo.

Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinga akitoa hotuba yake fupi kwa waheshimiwa Wabunge na Wageni waalikwa waliokuwepo kwenye hafla hiyo iliyofanyika usiku huu kwenye viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.

Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Phocas Laswai akitoa hotuba yake mbele ya Mgeni Rasmi,Viongozi mbali mbali pamoja na wageni waalikwa waliohudhulia hafla hiyo iliyofanyika usiku huu kwenye Viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma.

Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo akiutambulisha Ujumbe wa TBL ulioambatana nae kwenye ziara hiyo.

Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe (kulia) akitoa ufafanuzi juu ya utaalam uliotumika kutengeneza Bia hiyo hadi kupelekea kuibuka na ushindi huo mkubwa Barani Afrika huku akisikilizwa kwa Makini na Mgeni Rasmi pakoja na Waheshiwa Mawaziri na Wabunge waliokuwepo kwenye hafla hiyo ya kupongeza ushiwa huo wa Bia Bora Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager.

Tukio la Picha ya Pamoja.

Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa TBL pamoja la vikombe vyao vya ushindi.

Waziri mpya wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi

Mh. Simbachawene

Waheshimiwa Wabunge wakifurahia Kombe hilo.

meza kuu.

Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo akiwa katika Mazungumzo na Mh. Obama.

Mh. Obama (katikati) akimuuliza jambo Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe (aliesimama).

Waheshimiwa wakiwa kwenye hafla hiyo.

Wakati wa Chakula.

Waheshimiwa Wabunge.

Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (kushoto) akikabidhi zawadi Maalum kwa Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Phocas Laswai tayari kwa kukabidhi wa Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda.

Waheshimiwa wakiburudika na kitambaa Cheupe toka Bendi ya Wazee Sugu,chini Mzee King Kikii.

Wadau

Warembo wa Safari Lager.

Moja kati ya MC wa shughuli hiyo,alikuwa ni Mdau Innocent Melleck.

Zawadi.

CHANZO: MUHIDIN MICHUZI

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO