Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TUZO ZA UANDISHI BORA NCHINI: JOSEPH SENGA MPIGA PICHA BORA MWAKA 2012

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio akimkabidhi tuzo ya Mpiga Picha Bora 2012, Joseph Senga kutojka Kampuni ya Free Media inayochapisha magazeti ya Tanzania Daima na Sayari. SDEnga amepata tuzo hiyo baada picha aliyopiga ikimuonesha askarti Polisi akimsurubu Mwandishi wa Habari, Marehemu Daudi Mwangosi wa Kituo cha Televisheni cha Chanel Ten.

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga akizungumza katika hafla hiyo.

Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara akizungumza katika hafla hiyo.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi kwa washindi.

Brass Band ya JKT iktoa burudani katika hafla hiyo.

Mpiga Picha Bora 2012, Joseph Senga kutoka Kampuni ya Free Media, wachapishaji wa Magazeti ya Tanzania Daima na Sayari, kabla ya kukabidhiwa tuzo yake.

Baadhi ya washiriki walioingia katika dfainali za tuzo hizo.

Hongera, ulistahili

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akimkabidhi mfano wa hundi mshindi wa jumla wa tuzo za EJAT 2012, Lucas Liganga.

  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akimkabidhi mfano wa hundi mwandishi mkongwe aliyepata mafanikio.

Mpiga Picha Bora 2012, Joseph Senga (kulia) akiwa na mpiga picha wa magazeti ya Uhuru na Mazalendo, Emmanuel Ndege ambaye aliingia katika fainali za kinyang'anyilo cha kumtafuta mpiga picha bora.

Mwandishi wa Habari wa Mwananchi Communications, Anthony Mayunga akipokea tuzo yake.

Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akimkabidhi tuzo ya mwandishi bora wa habari za watoto, Shadrack Sagati kutoka TSN.

Mpiga Picha Bora 2012, Joseph Senga akiwa na tuzio yake.

Mwandishi mkongwe Hamza Kasongo akiwa na mmoja wa majaji wa tuzo hizo, Mwanzo Milinga

Picha ya pamoja.

Picha ya pamoja.

PICHA ZOTE NA MUHIDIN MICHUZI

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO