Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Taswira: Matukio ya Awali Kutoka Mkutano Mkuu wa BAVICHA Mlimani City Dar es Salaam

Bavicha5

Bavicha7Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mh Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Vijana Mh John Heche wakiwasili eneo la Ukumbi Unakofanyikia Mkutano huo ambao utahitimishwa kwa kumchagua Mwenyekiti Mpya wa kuongoza Baraza la Vijana chadema sambamba na Viongozi wengine wa Baraza hilo.

Bavicha8

Bavicha1

Bendi maalumu ikitumbuiza kabla ya hotuba

 

Bavicha4

Bavicha6

Bavicha2

Mh: Freeman A.Mbowe akiwa na Mwenyekiti anaye maliza muda wake Mhe John Heche

Wajumbe wa Bavicha ndani ya ukumbi wa Mliman City

Wanao onekana mstari wa mbele ni dreva boda boda wa mkoa wa Dar es Salaam ambao nao ni wageni waalikwa

Mwakilishi wa Conservative People Party kutoka  Denrmak akitoa salamu kwa wajumbe wa BAVICHA

Live band ikituimbuiza katika ukumbi wa mlimani City

 

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO