Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Matokeo Kidato cha Pili 2014 Yatoka, Wanafunzi 29,770 Kurudia Mitihani hiyo

kidato2_300_172

Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Charles Msonde

Jumla ya wanafunzi 29,770 waliofanya mitihani ya kidato cha pili mwana 2014, ambayo ni ya kwanza kusimamiwa na NECTA watalazimika kurudia mitihani hiyo baada ya kukosa alama za kuwvusha kidato cha tatu. Wanafunzi 375,434 waliofanya mitihani hiyo wamefanikiwa kuendelea na kidato cha tatu!

Habari zaidi
HAPA

BONYEZA HAPA KUSOMA MATOKEO YENYEWE

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO