Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Taswira: Uzinduzi rasmi wa msimu wa Tigo Fiesta 2016 jijini Mwanza


Waziri wa habari, utamaduni na michezo, Mhe. Nape Mnauye akiongea na wakazi wa mkoa wa Mwanza wakati wa uzinduzi wa msimu wa Tigo Fiesta 2016 kwenye viwanja vya Furahisha jana. 
 Waziri wa habari, utamaduni na michezo,  Mhe. Nape Mnauye akizindua rasmi msimu mpya wa Tigo Fiesta 2016 kwa kunyanyua juu bendera maalum kwa kushirikiana na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo na viongozi mbalimbali kwenye viwanja vya furahisha jijini Mwanza jana. 

 Waziri wa habari, utamaduni na michezo,  Mhe. Nape Mnauye akizindua rasmi msimu mpya wa Tigo Fiesta 2016 kwa kunyanyua juu bendera maalum kwa kushirikiana na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo na viongozi mbalimbali kwenye viwanja vya furahisha jijini Mwanza jana. 

IMOOOOO!

Wanakikundi wa chuo cha kilimahewa wakitumbuiza mara baada ya uzinduizi rasmi wa Fiesta Jijini Mwanza.

Wanakikundi wa utamaduni vijana wakitumbuiza mara baada ya uzinduizi rasmi wa Tigo  Fiesta 2016 Jijini Mwanza.

Wanakikundi wa utandawazi kutoka ukeerewe wakitumbuiza mara baada ya uzinduizi rasmi wa  Tigo Fiesta 2016 Jijini Mwanza jana.



Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO