Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Taswira: Mh Mch Peter Msigwa (Mb) Iringa Akitoka Mahakamani Baada ya Kuachiwa huru kwa Dhamana

Mchg.Peter Msigwa (Mb) Iringa Mjini akitoka mahakamani baada ya kuachiwa kwa dhamana

Msigwa akiwa na wafuasi wake akiwa amebebwa juu juu


Msigwa amuliwa kushushwa chini na kutembea 

Msigwa aanza msafara kuelekea ofisi za chama Mtaa wa Mshindo

Ni baada ya kuachiwa kwa dhamana Mbunge wa Iringa Mjini Mchg. Peter Msigwa dhidi ya kesi ya kuhusishwa na mapigano ya wafuasi wa CCM na CHADEMA Mkoani Iringa katika harakati za kampeni za ugombea udiwani kata ya Nduli na kupelekea Kiongozi wa usalama CCM Kamanda Kasmu Keita kujeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa.

CHANZO: http://maangazio.blogspot.com

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO