Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Julius Mtatiro azungumzia vurugu za Zanzibar, apinga uchomaji makanisa na matumizi ya nguvu kuzuia uhuru wa kutoa maoni

Naibu Katibu Mkuu Bara (CUF), Ndg Julius Mtatiro HILI LA ZANZIBAR HALIUNGWI MKONO “LABDA NA MWENDA WAZIMU TU” Habari za uchomaji wa makani...
Soma Zaidi

Sabodo Atoa Billioni 5/- Kujenga Jengo la Kuegesha Magari Dar es Salaam

Mustafa Sabodo(kulia) katika makabidhiano na Meya wa Ilala, Mh Jerry Slaa (katikati) Na Deo Mwaibale MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mustafa...
Soma Zaidi

Mh Selasini anahitaji maombi yako, hali yake na majeruhi wengine bado sio nzuri

Hii ndio picha halisi ya gari ya Mh Selasini baada ya ajali iliyopelekea vifo vya watu watatu hapo hapo, akiwemo mama yake mzazi, iliyotoke...
Soma Zaidi

TASWIRA 3 JINSI WANANCHI WA MALI WALIVYOVAMIA IKULU NA KUMPIGA RAIS WAO

    Baada ya kumdunda Rais wao, wananchi wakaamua kuketi Ikulu kama wanavoonekana pichani Picha na Reutars kwa hisani ya Millard Ayo
Soma Zaidi

AJALI MBAYA JIONI HII: MBUNGE WA ROMBO ANUSURIKA KIFO, WATATU WAFARIKI PAPO HAPO AKIWEMO MAMA YAKE

Tumepokea taarifa ya ajali mbaya ya barabarani jioni hii ikieleza kuwa Mbunge wa Rombo (CHADEMA), Mh Joseph Selasini (pichani) pamoja na wa...
Soma Zaidi

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO