Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TUJADILIANE: ZITTO AFUNGUKA JIJINI MWANZA KUHUSU KUZUIWA MIKUTANO YA KISIASA

Leo Januari 24,2018 kipindi cha majadiliano cha TUJADILIANE kinachorushwa na vyombo vya habari (Redio na TV) vinavyorusha matangazo yake kutokea Jijini Mwanza, kimezungumza na Mhe.Zitto Kabwe ambaye ni mbunge jimbo la Kigoma Mjini, Mchumi na Kiongozi wa chama (ACT Wazalendo).

Mhe.Kabwe amefunguka mambo mengi kwenye kipindi hicho kinachoandaliwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania UTPC ikiwemo Uchumi wa Taifa, Mstakabali wa siasa nchini, hofu ya mswada wa kuzuia mikutano ya siasa, chama na mengineyo katika mahojiano hayo yaliyoongozwa na Mtangazaji Dotto Bulendu.

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO