Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

VIDEO: Je unafahamu chupa ya beer unatakiwa kunywa kwa saa moja? mtazame Dr. Ali Mzige akielezea nini maana yake!


Je, kwa wale wanaotumia vilevi kama bia, unajua kuwa chupa moja ya bia unatakiwa kunywa kwa saa moja?

Tumsikiliza mtaalam wa Daktari wa Afya ya Jamii na Familia Dr Ali Mzige hapa chini akizungumza na The Beauty TV juu ya suala hilo na usisahau ku-subscribe kupata updates zaidi. 
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO