Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

News Updates: SHULE YA SEKONDARI ILBORU ARUSHA YAFUNGWA KWA MUDA USIOJULIKANA

Pichani ni baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ilboru iliyoko Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha wakiwa wamebeba mizigo yao wakitafuta namna ya kurudi nyumbani baada ya kuamriwa kuondoka mara moja shuleni hapo chini ya usimamizi wa jeshi la Polisi baada ya shule kufungwa kwa muda usiojulikana kwa kile kinachodaiwa ni tishio la kuchomwa moto shule hiyo.

Baadhi ya wanafunzi wamedai kuwa baada ya kuonekana eneo mojawapo limemwaga  petroli, hatua iliyozua hofu huku walimu wakiwashutumu wanafunzi kutaka kufanya kitendo hicho na wanafunzi wakidai huenda ni walimu wao.

Stori na Picha: Jamii Blog

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO