Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Hatimaye Bunge la Uganda laondoa ukomo wa Umri kwa wagombea Urais!


Bunge la Uganda limepitisha muswada wa kuondoa ukomo wa umri katika kugombea Urais ambapo ukomo wa umri ulikuwa ni miaka 75. 
Bunge hilo pia limerudisha nyuma ukomo wa vipindi viwili vya kukaa madarakani kutoka miaka saba hadi miaka mitano jambo linaloashiria kwamba wabunge wa sasa wataendelea kushikilia nafasi zao hadi mwaka 2023 kutegemeana na tarehe rasmi ya kuanza kutumika kwa mabadiliko hayo ya Katiba  
Mabadiliko hayo ya Katiba yaliyopitishwa kwa kura 315 dhidi ya kura za upinzani 62 yanampa nafasi Rais wa sasa Yoweri Kaguta Museveni kuwania kiti cha Urais kwa muhula wa sita.
.
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO