Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

CCM YAUNDA TUME KUTATHMINI MALI ZAKE NCHI NZIMA


CHAMWINO
Chama  Cha Mapinduzi (CCM) kimeunda Tume itakayofuatilia mali zake zote zilizopo nchini kote. 

Tume hiyo imeundwa katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kilichofanyika jana Ikulu ya Chamwino nje kidogo ya mjini Dodoma. 


Timu ya Tume hiyo iliyoteuliwa katika kikao hicho kilichofanyika chini ya Mwenyekiti wa CCM  Rais Dk. John Magufuli Mwenyekiti wake ni

Dk. Bashiru Ali Kakurwa na Wajumbe ni, 
1. Walter Msigwa
2. Albert Msando
3. Galala Wabanhu Hananasifu
4. Albert Chalamila
5. William Sarakikya
6. Komanya Kitwara
7. Dk. Fenela Mkangara
8. Mariam Mungula

Moja ya majukumu iliyopewa tume hiyo ni kuzunguka nchi nzima kuziona zilipo mali zote za Chama na kuzifanyia uratibu na tathmini
Washirikishe Google Plus

About Ujenzi Connekt

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO