Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Taswira za Mkutano wa Chadema mjini Iringa

Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Mwalimu Salum akihutubia umati wa maelfu ya wakazi wa Mji wa Iringa na Vitongoji vyake waliohudhuria mkutano wa CHADEMA uliofanyika leo na kuhutubiwa na Katibu Mkuu Dk. Slaa

Umati wa wakazi wa mji wa Iringa waliohudhuria mkutano wa Chadema Iringa uliokuwa ukihutubiwa na Katibu Mkuu wa Chadema Taifa Dr Wilbroad Slaa.

Picha na Chadema Blog

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO