
Leo Diwani wa Kata ya Unga Ltd, Mh James Mathew Lyatuu pamoja na wataalamu wa Kata ya Unga Ltd wote kwa pamoja waliamua kuzuru Mtaa wa Makaburi ya Baniani na kufanikiwa kupiga dawa ya kuua masalia na mazalia ya ugonjwa hatari wa kipindupindu kwa kutumia wataalamu wa Kata na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Esso pamoja na Afisa Mtendaji wa Kata ya Levolosi.
0 maoni:
Post a Comment