Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Habari Mpya: Majambazi yamiminia risasi basi la Magereza na kutorosha wafungwa Jijini Dar

Taarifa ambazo Blog hii imezipata muda mfupi uliopita zinaeleza kuwa Badi la Magereza limeshambuliwa kwa risadi na watu wansodhaniwa kuwa majambazi maeneo ya TMJ Mikocheni Dar es  Salaam.

Taarifa hizo ambazo hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi au Magereza zinadai majambazi hayo yanahisiwa kutorosha baadhi ya wafungwa waliokuwa kwenye basi hilo huku askari magereza wa kike hali yake ikielezwa kuwa mbaya kwa kujeruhiwa na risasi kifuani. Inaelezwa kuwa basi hilo lilikuwa linatoka Mahakama ya Mwanzo Kawe na kwasasa limeshikiliwa kituo cha Polisi Oysterbay pamoja na wafungwa waliomo. Idadi kamili ya majeruhi na wafungwa/watuhumiwa waliotoroka haijajulikana bado...

Picha na mdau Martha Mtiko

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO