Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Cargo plane crashes into building in Kenya shortly after takeoff in Nairobi, 4 people were killed

Policemen and firefighters search in the wreckage of a cargo plane which crashed at a commercial building in a Nairobi suburb shortly after takeoff early Wednesday.

NAIROBI, Kenya — Four people were killed when their cargo plane crashed shortly after takeoff in Nairobi, a police official said Wednesday.

The plane transporting the mild stimulant known as Khat to the Somali capital, Mogadishu, crashed into a commercial building after taking off from Jomo Kenyatta International Airport early Wednesday, said Joseph Ngisa, the airport's head of police investigations.

Ngisa said preliminary investigations found the plane was flying low after takeoff and might have hit an electrical pole before crashing in the Embakasi area of the city.

Ngisa said the four on board included the pilot and his assistant.

Source: Kenyan Daily News 
******************************

UPDATES NA SALAAMFM

Idadi ya waliofariki kwenye ajali ya ndege jijini Nairobi imeongezeka hadi watu saba

ndege 2

Idadi ya waliofariki kwenye ajali ya ndege inayomilikiwa na shirika la Skyward katika eneo la Utawala, kaunti ya Nairobi imefikia saba.

Hii ni baada ya polisi kupata miili zaidi iliyokuwa kwenye mabaki ya ndege hiyo iliyoanguka kwenye jengo moja la makaazi.

Miongoni mwa waliofariki ni marubani wa ndege hiyo na wahudumu wengine waliokuwemo kwenye ndege hiyo. Walinzi wawili wanauguza majeraha kuhusiana na ajali hiyo na wamelazwa hospitali ya Mama Lucy Kibaki jijini Nairobi.
Kulingana na kamanda wa polisi wa kaunti ya Nairobi Benson Kibue, ajali hiyo ilitokea mwendo wa saa kumi alfajiri, siku ya jumatano bila kufichua chanzo cha ajali hiyo.

Ndege hiyo  ilikuwa inaelekea jijini Mogadishu, nchini Somalia huku ikisafirisha miraa.

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO