Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: RAISA NDIO REDD'S MISS KANDA YA KASKAZINI 2014

hawa ndio washindi wa redd's miss kanda ya kaskazini kwa mwaka 2014

hawa ni wadhimini wa shindano hilo kutoka minjingu

LEMUTUZ nae alikuwemo ndani ya Redd's miss kanda ya kaskazini  bila kumsahau mwenyekiti wa Taswa Juma pinto

mkuu wa mkoa wa Arusha pamoja na mkuu wa mkoa wa Manyara waliuthuria katika usiku huo wa kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini ambapo katika shindano hilo warembo wanne wamwanzo watakingia katika kambi ya Redd's miss Tanzania

mh hashimu Lundenga akiwa anatangaza washindi wa tatu bora

watembo wakiwa wameingia ukumbini wakicheza wimbo wa ufunguzi

papa mwandago akimwaga maneno akiwa kama muandaaji mkuu wa shindano hili

hawa ndio warembo walioingia tano bora

waandaji wa shindano hilo wakiwa wamekaa kwa mapozi wakifuatilia shindano

PICHA zote na LIBENEKE LA KASKAZINI BLOG

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO