Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MBOWE MWENYEKITI TENA CHADEMA, USHINDI WAKE WATIKISA TANZANIA

Hatimaye Mhe Freeman Aikael Mbowe Amechaguliwa Tena kuwa mwenyekiti wa Chadema Taifa,amepata asilimia 97.3 ya kura zote, makamu mwenyekiti Bara ni Profesa Safari na makamu mwenyekiti Zanzibar ni Saidi  Issa  Mohamedi

Kutoka kulia, Makamu Mwenyekiti Taifa, Prof Abdalah Safari, Mwenyekiti Freeman Mbowe , Makamu Mwenyekiti Zanzibar na Dr Slaa

Wajumbe wakishangilia ushindi wa Mhe Freeman Mbowe

habari mchanganyiko za picha katika uchaguzi wa Chadema

Mratibu wa Kanda ya Pwani

Huyu ndiye bwana Frank ambaye alikuwa mgombea mwenza wa Mh Freeman Mbowe

makamanda wa chadema wakifuatilia kwa umakini mchakato mkuu wa uchaguzi wa CHADEMA

Posted by CHADEMA KANDA YA KASKAZINI No comments:

Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest

Heka keka za Uchaguzi wa Mkutano mkuu wa Chadema Taifa

Mhe:Freema Mbowe Akwahutubia wajumbe wa mkutano mkuu kabla ya kujiozulu kupicha zoezi la uchaguzi

Wjumbe walivyo furika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City

Kwa hali hii ukombozi ni lazima

Ulinzi wahimarishwa Nje na Ndani ya ukumbi

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO