Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Taarifa Muhimu: Uchaguzi Serikali za Mitaa Kufanyika Desemba 14, 2014

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika Desemba 14, 2014 nchini kote na kampeni zitaanza rasmi Novemba 30, 2014.
Taarifa rasmi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu-Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa ya jana inafafanua zaidi kuwa uchaguzi huo utafanyika kwa kuzingatia sheria na kanuni za chaguzi za Serikali za Mitaa.

Soma hapa kwa
maelezo zaidi

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO