Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

“RASIMU YA SITTA” ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE MAALUM 2014 HII HAPA

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta

 

Mwenyekti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba ya Bunge Maalumu la katiba, Mh Andrew Chenge amewasilisha ‘Rasimu ya Tatu” kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo Samweli Sitaa, rasimu ambayo imepishana kwa kiwango kikubwa na Rasimu ya Tume ya Katiba.

Mambo ya Muungano katika “Rasimu ya Sitta” ni haya

1. Katiba na Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2. Ulinzi na usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

3. Usalama na usafiri wa anga.

4. Uraia na uhamiaji.

5. Jeshi la Polisi.

6. Sarafu na Benki Kuu.

7. Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na Mashirika, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini Tanzania na zinazosimamiwa na Idara ya Forodha.

8. Mambo ya nje.

9. Usajili wa vyama vya siasa.

10. Mahakama ya Juu na Mahakama ya Rufani.

11. Elimu ya Juu.

12. Baraza la Taifa la Mitihani na mambo yote yanayohusika na kazi za Baraza hilo.

13. Utabiri wa hali ya hewa.

14. Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

KUISOMA YOTE BONYEZA HAPA PLIOANDIKWA  RASIMU YA TATU

RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Mhe. Andrew Chenge (kushoto) akiwasili bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, leo 24 Septemba, 2014. Kulia ni mjumbe wa Bunge hilo, Dkt. Tulia Ackson.

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO