Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: MKUBWA NA WANAWE WAKITOA MSAADA HOSPITALI YA TEMEKE

Said Fella akikabidhi msaada kwa wahusika wa hospitali hiyo.

Chege, Temba, Aslay pamoja na kundi zima la Mkubwa na Wanawe Jumatano hii walitembelea katika wodi ya watoto ya hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam na kutoa misaada mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari Said Fela alisema wanajisikia vizuri kutoa msaada kama huo kwakuwa na wao ni wagonjwa wa baadaye.“Tumeamua kuanza na watoto maana mimi ni mzazi na hata mke wangu anajifunguliaga hapa pia mimi nilikuwa mtoto na katika show yetu pengine wazazi waliopo hapa walipenda kufika lakini kutokana na kuuguza wakashindwa kufika. Na hii hatutofanya wilaya hii tu tukipata kingine kidogo basi tutapeleka na kwingine na hii isiwe sisi tumefunga milango wajitokeze na wengine kusaidia,” alisema.

Temba akiwa wodi ya watoto

Aslay akiwa na wenzake

Chege

SHARED FROM VIJANA NA MATUKIO

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO