Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

‘MRITHI’ WA ZITTO KABWE APATIKANA CHADEMA

Maktibu wa Chadema katika picha ya pamoja.
Uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo usiku huu umefikia tamati kwa Kamati Kuu ya chama hicho kupata viongozi wake

KATIBU MKUU --DK WILLBROD SLAA--

NAIBU KATIBU MKUU BARA-- JOHN MNYIKA

NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR-ALUM MWALIM

viongozi awa waliteuliwa na mwenyekiti wa chama hicho kama katiba inavyosema na hatimaye baraza kuu likawapitisha wote bila kuwapinga

Mh JOHN MNYIKA anateuliwa kushika nafasi ambayo ilikuwa inashikiliwa na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini mh ZITTO KABWE ambaye aliondolewa katika nafasi hiyo kwa kile ambacho kilisemekana kukos uminifu ndani ya chama hicho.


Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalim (kushoto) akiteta jaambo na Naibu Ktibu Mkuu Tanganyika, John Mnyika

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO