Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

GHARIKA YA LOWASSA NA UKAWA JIJINI MWANZA JANA.. SUMAYE KUFUNGIA KAMPENI MWANZA KUSHINDANA NA CCM

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwasili kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.tayari kwa Mkutano wa Kampeni.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwasalimia wananchi wa Jiji la Mwanza waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Furahisha, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni zake, leo Oktoba 12, 2015.

Mwanasiasa Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, akiwasalimia wananchi, katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Jiji la Mwanza waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Furahisha, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 12, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akikumbatiana na Mwanasiasa Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipowajili kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiteta jambo na Mwanasiasa Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipowajili kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.

Wananchi wa Jiji la Mwanza wakiitikia salam ya "Mabadilikoooo" katika Mkutano wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.

Meneja wa Kampeni za Chadema, John Mrema akiongoza Mkutano huo leo.

Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Juma Duni Haji, akiwasalimia wananchi, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akisalimia na Mgombea Mwenza wake, Mh. Juma Duni Haji, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Nyamagana kwa tiketi ya Chadema, Hainesy Kiria akihutubia wananchi wa Jiji la Mwanza waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Furahisha, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 12, 2015.

Mwenyekiti mwenza wa UKAWA ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR - Mageuzi, James Mbatia akiwahutubia wananchi huku akiitumia rasimu ya Katiba Inayopendekezwa, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.





















Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO