Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

VODACOM YAJIPANGA KUZUIA MIMBA MASHULENI

Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi,Georgia Mutagahywa (mwenye suti nyeusi) akizungumza jambo mara baada ya kutembelea darasa la Kompyuta shuleni hapo juzi.
Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi,Georgia Mutagahywa akiongozana na mkuu wa shule hiyo Jacob Costantine wakielekea eneo la mahafali.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Majaar Trust ,Balozi Mwananidi Sinare Majaar (kushoto) pia alikuwa ni miongoni mwa wageni waliofika shuleni hapo kwa ajili ya mahafali ya 13 ya kidato cha nne.
Wananfunzi wakionesha umahiri wa kucheza parade wakati wa kuwakaribisha wageni waalikwa.
Wahitimu wakiwa wima kwa ajili ya wimbo wa taifa.
Mgeni rasmi pamoja na meza kuu wakiwa wima kwa ajili ya kuimba wimbo wa taifa.
Baadhi ya wazazi wenye watoto wanaohitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe wakifuatilia mahafali hayo.
Mkuu wa shule ya sekondari ya Shimbwe ,Jacob Costantine akizungumza wakati wa mahafalai ya 13 ya kidato cha nne yaliofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo.
Mwenyekiti wa Bodi ya shule ya sekondari ya Shimbwe ,Batromeo Temba akizungumza wakati wa mahafalai ya 13 ya kidato cha nne yaliofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo.
Mgeni rasmi katika mahafali hayo,Geogia Mutagahywa alishindwa kujizuia wakati wanafunzi wa shule hiyo wakitoa burudani kwa wageni waalikwa.
Balozi Mwanaid Majaar pia aliamua kuonesha umahiri wake katika kucheza kwaito.
Baadhi ya wanafunzi wanao hitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe.
Wanafunzi Daudi Silayo na Rehema Kira wanaohitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe wakisoma risala mbele ya mgeni rasmi.
Mgeni rasmi akiwapongeza wanafunzi waliosoma risala.
Balozi Mwananidi Majaar akizungumza wakati wa mahafali ya 13 ya shule ya sekondari ya Shimbwe alipohudhuria kama mgeni mualikwa.
Mwakilishi wa wazazi wa watoto wanaomaliza elimu yao ya kidato cha nne shuleni hapo Eliaringa Owoya akizungumza kwa niaba ya wazazi wenzake.
Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi,Georgia Mutagahywa akitoa hotuba yake kwa wazazi na wanafunzi waliofika kwa ajaili ya shughuli ya mahafali hayo.
Mgei rasmi akitunuku vyeti kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne.
Mgeni rasmi pia alitunuku vyeti kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao na uongozi shuleni hapo.
Baadhi ya ndugu waliofika katika mahafali hayo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO