![]() |
| Abiria wakishuka kutoka kwenye ndege ya shirika la Precision Air ambayo imeanza safari za moja kwa moja kutoka jijini Dar es Salaam na Zanzibar hadi kwenye hifadhi hiyo. |
![]() |
| Watalii wakifurahi baada ya kutua salama kwenye uwanja wa Seronera ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. |
![]() |
| Watalii wakipata picha ya pamoja ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti |
![]() |
| Meneja Uhusiano wa Tanapa,Pascal Shelutete akifafanua umuhimu wa ndege kubwa za abiria kwenda moja kwa moja kwenye hifadhi za taifa kutakavyoinua sekta ya utalii nchini. |
![]() |
| Ndege ya shirika la Precision Air ikiruka kutoka uwanja mdogo wa Seronera ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoa wa Mara. |
![]() |
| Makundi makubwa ya wanyama aina ya Nyumbu ni miongoni mwa vivutio ndani hifadhi ya Serengeti |
![]() |
| Tembo wenye miili mikubwa wakiwa ndani ya Hifadhi ya Serengeti |
![]() |
| Fisi wakijipooza joto kwenye dimbwi la maji. |
![]() |
Wafanyakazi wa Sence of Afrika wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa tayari kuwapokea wageni wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Imeandaliwa na www.rweyemamuinfo.blogspot.com
|














0 maoni:
Post a Comment