Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

BAWACHA WATOA MSAADA TAASISI YA SARATANI YA OCEAN ROAD

Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) jana wametoa msaada wenye thamani ya Sh 900,000 katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road ikiwa ni katika maadhimisho ya wiki ya Wanawake Duniani.

Akikabidhi msaada huo leo, Mbunge wa Vitu Maalum Chadema Suzan Lyimo amesema msaada huo ni pamoja na kifaa cha kuwekea nguo za wagonjwa chenye thamani ya Sh 600,000.





Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO