Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

VIJANA WA KAZI MOUNTI MERU RICKERNEST BAND WAAIDI MAKUBWA NDANI YA JIJI LA ARUSHA NA MIKOA YOTE YA TANZANIA


  vijana wa kazi kaskazini Arusha wakitoa burudani ya nguvu ndani ya Triple A sport bar   bendi  town ijulikanayo kama  Mounti Meru Rickernest   

waimbaji wa bandi ya  Rickinest wakiwa wanaserebuka pamoja na wadau  wa muziki wa bandi mkoani Arusha


 
 waimbaji wakiwa wanaendelea kupata burudani na mashabiki
 wanenguaji hatari kutoka bendi ya Rickinest Band wakionyesha uwezo wao wa kukata mauno jukwaani

 Apa mzuka ulikuwa umepanda hatari waliamua kuonyesha makeke ya kila aina

 washabiki wa bandi ya Rickinest wakiwa wana show love kwa pamoja  mara baada ya burudani kukolea

 wanadada wa A-Town  waliouthuria katika show hiyo ya Mounti Meru Rickinest Band  wakiwa katika pozi

 Wa kwanza kushoto ni shabiki mkuu wa band ya Rickinest music band  Omary Matelephone akiwa anabadilishana mawazo na  shabiki mwenzake ambalo jina lake alikuweza kufahamika mara moja

 mmoja wa wakurunzi wa band hiyo  wa kwanza kulia akiwa anaserebuka sebene la nguvu wakati wanamuziki wakifanya yao (picha zote na Woinde Shizza,Arusha)
Bendi hii ya Mounti Meru Rickernest bandi inafanya onyesho lake kila siku ya ijumaa ,jumamosi na jumapili katika ukumbi wa Triple A sport bar  

Bendi hii ni mpya na imeaidi kutoa burudani ya nguvu kwa mikoa yote ya hapa nchini
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO