Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: ERRY SILAA AKIMNADI MGOMBEA WA CCM KALENGA

211

Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Chama chama Mapinduzi (CCM) Bw. Jerry Silaa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye kijiji cha Ibumila kata ya Mgama leo

1

Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Chama chama Mapinduzi (CCM) Bw. Jerry Silaa kulia akiteta jambo na Mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Bw. Godfrey Mgimwa wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye kijiji cha ibumila kata ya Mgama halamashauri ya wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa, Jerry Silaa amewaomba wana Ibumila kumchagua Godfrey Mgimwa ili kukamilisha mipango mbalimbali aliyoiacha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Marehemu Dk. William Mgimwa.

 3

Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Chama chama Mapinduzi (CCM) Bw. Jerry Silaa wa pili kutoka kushoto akiwa katika mkutano huo kushoto ni mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa na kutoka kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa wa Simiyu,Njalu Silanga, Anthony Mavunde kutoka UVCCM Dodoma, Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa Hassani Mtenga

4

Mmoja wa wananchi akiserebuka huku akiwa amebeba beseni lake la ndizi katika mkutano huo.

 5

Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Chama chama Mapinduzi (CCM) Bw. Jerry Silaa kushoto akishiriki kuimba nyimbo za kuhamasisha katika mkutano huo wa kampeni aliofanyika kwenye kijiji cha Ibumila kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa wa Simiyu,Njalu Silanga na Anthony Mavunde kutoka Dodoma wakijumuika pamoja. 

 7

Wananchi wakimlaki mgombea ubunge wa Kalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa wakati alipowasili katika kijiji cha Mgama kata ya Mgama.

9

Jeshi la polisi likiimarisha ulinzi katika mikutano hiyo 10

Wananchi wakimlaki mgombea ubunge wa Kalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa kwa kumbeba juu juu, wakati alipowasili katika kijiji cha Mgama kata ya Mgama.

 12

Kada wa chama cha Mapinduzi Bw. Fredrick Mwakalebela akipigia debe mgombea ubunge wa jimbo la Lalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa katika kijiji cha Mgama kata ya Mgama wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kijijini hapo leo.

13

Mgombea ubunge wa jimbo la Lalenga kupitia CCM Bw. Godfrey Mgimwa akivishwa mgorole na wazee wa kimila kama ishara ya heshima mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Mgama kata ya Mgama wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kijijini hapo leo

CHANZO: BASHIR NKOROMO/CCM BLOG

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO