Hayo yameelezwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda wakati akihutubia katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha na kusisitiza kuwa kuwa lengo la Serikali ni kukuza uchumi kwa vijana.
Alisema hadi sasa Serikali inamiliki hisa kwa asilimia 100 katika kiwanda hicho na muda wowote kitaanza uzalishaji.
Alisema hadi sasa Serikali inamiliki hisa kwa asilimia 100 katika kiwanda hicho na muda wowote kitaanza uzalishaji.
Chanzo: Mosses Mashalla, Mwananchi
0 maoni:
Post a Comment