Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya za Uyui na Tabora mjini, Viongozi wa CCM na watendaji wa Serikali, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Tabora, leo.
Pamoja na kuzungumzia taratibu za uchaguzi ndani ya unaoendelea katika ngazi za mashina, Bulembo amewataka wana CCM, kutambua kuwa sare za CCM zina thamani kubwa kwa kuwa ni za Chama tawala hivyo wazivae hata wanapokuwa wanakwenda kutafuta huduma katika maeneo muhimu, Amewataka pia madiwani kuhakikisha Halmashauri za wilaya zao zinatoa mgawo wa asilimia kumi fedha kutoka mapato yao, kwa ajili ya kuwapatika vijana na kina mama kwa ajili ya mikopo kwa kuwa utaratibu huo upo kisheria.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiqRiiXkjLBVvPs73wP_10a42JTeAIjDStPtPs1-loS7Ux0W4H7V4ags94rJczROPZOLc89arcdisUcOZlaxZ8VH5c098M9sNAmw0pwkvXRAAzokd8cZ_CCVjVJsniMo3KaMtI1mg/s640/BN646149.jpg)
" Ndugu Bulembo Kazi hii ya Ukuu wa mkoa naipenda sana, hasa kwa sababu nasimamia ilani ya Chama changu, kwa niaba ya Wananchi wa mkoa huu, mpelekee Salaam, Mwenyetiki wetu, Rais Dk Magufuli, kwamba Tabora tunampongeza kwa kazi nzuri anazofanya, mwambie tuna imani naye na tutazidi kumuunga mkono", akisema, Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggry Mwanri alipotambulishwa kwenye kikao hicho![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi63GYbNsWGThshmV99vmJzn9g68l9njL9JrddDxiSjE0hk7sE6QeZQ-jKgn26t1aFyk4uju8hdymfH1QnOa5Tbpaf-liEJ-ByACLP4sgnDncvaWkpzEo0VPWfshQ4Bq961Fdxs_A/s640/BN646173.jpg)
Wajumbe wakionyesha bashasha na furaha kwenye kikao hicho![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrc65bZoF-U5mV_uvOQNNXyjKN2VY4iWvYXSMv9Fa58PF8kPey7Wj7x8bXTENv23vxjw3cHd4e_rFIxNqSZHUqN9VW38i00bSI7d52gEG0fwcCW6j4VnrBgfS1GUxFXon8k-bIxg/s640/BN646184.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggry Mwanri akimtambulisha Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Mwalimu Queen Mwanshinga Mlozi, wakati wa mkutano huo![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcpG3OfqkQ_GAAAkR-ETCJKagwOL1i4GbTBxUP2abhKmEqKtKByRkrKRyRa1Kl4SR6v9G8KvQDOZwjtJcNqCgGmNFBNiQnqrxxuth4lyj05tc9Ej5-YkX9ZdR6AA29CBx0ymxsMw/s640/BN646192.jpg)
Mkuu huyo wa Wilaya ya Tabora mjini akisalimia kabla ya kuangusha kigeregere cha aina yake ambacho kilisababisha wajumbe kushangilia kwa uhodari wake![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhP_aSPIMFknJA38yJiFQfOQNnRh8RCxosJITPn_92VHaeL_IX4CTZkD9lcw_HYGruw3zSTu8AEaMa0TZgEQk1nvrHnwpQxXlMKVdaVXff1Lb814iM4vAeMS6whwIaUUr4h2JwwVg/s640/BN646196.jpg)
Kisha Mkuu huyo wa Wilaya ya Tabora mjini akahakinikiza kigeregere chake kwa kupiga magiti![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi0E04PCFTSwHP7Io1pDlpgJg3SiZiZDm66CsTiGkCMibxc0Me_QQTp_8E00muAtiN0dHZCLzgjYD4yUeTrb0nf_EDaL6r1NEQYRpbZSAVLscK84GMFSnPFd5ReBa-9LwNEBtWkWA/s640/BN646219.jpg)
Katibu wa Siasa na Oganaizesheni wa Jumuia ya Wazazi Makao Makuu, Ndugu Mgaya akisalimia wananchi baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgXPNxZJDq0KjNzc_au20dEsItkgE58VHsVzniCMIcTzTbaS3kMxKCn5hbANLIUFk_Xa8svQruGEGSJEI6FAowIXJp3-mskn3I1Do0Rl86-KvtnTnfoLULxpBIKhTIT4MmYePOoow/s640/BN646230.jpg)
Msaidizi wa Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi, Ndugu Kalolo akisalimia baada ya kutambulishwa![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7_5oR3umosjpCRkJHHnYnoUuqtLcoG5rifH7U1iArnsA0avhK_uDFJ4MlELJ5ySNoc4wMA3QgDnjGRpjgzVd067XEWjXvSNlgtPWc-F3wOnQ3dlPLxwW7D2pXdLOV7WDV5hY1MA/s640/BN646235.jpg)
Kishaa arindima kwa wimbo wa hamasa wa kabila la Wanyamwezi na baadaye kuporomosha mashairi yaliyosababishwa wajumbe kulipuka kumshangilia![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgy78BWoKw12eI4Cecd4n9eyMyNOAT5L2n9eJzbnCoI06MEF_iO5n7dR11iMUQE0KRZmyB_FeTw_twNhAuQ33Q3PhmNA-6iDlGoWnwXHyXSryTlaN-iNQ3ZMUouu3islpA-YnQUMg/s640/BN646253.jpg)
Wajumbe wakiwa wamesimama wakati Mchungaji Elias Mbagatwa alipokuwa akitoa dua maalum ya kumuombea Mwenyekiti wa CCM Rais Dk John Magufuli Mungu amjalie kuendelea kuchapa kazi na afya njema, wakati wa kikao hicho![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS40nJH9Qc-AJPSO7Gm5s4rptYkzsEF08_ryiAgB-nKWPrxEhLFJHtxqRZ0hn0xEBT4VxbWSbRq0C529p43FbZVSOb5vFnye6-UAcK0AgVwfaDDfO1hB5S4EjlI9gYjP0geu9yEQ/s640/BN646258.jpg)
Mchuangaji Elias akiendelea na dua hiyo. Kushoto ni Mjumbe wa Kati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Ndugu Bulembo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggpRjVRlCqOxfctaGMp9dosumnJWXbwoW6dOzwlae-RUwzDycilW1FYiWA-w36EM1q1GIpnyT_OOuuYVd2BXYCzhzA4MNvCzPtAVwkEaamFs8jXP4c4RiH51Y-aqJNbdn_b09-pw/s640/BN646272.jpg)
Sheikh Hussein Mkamilwa wa Bakwata mkoani Tabora akiomba dua ya kubariki kikao kabla hakijaanza![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrKRIlX97SuzX4jtrKKE-VjhRRC2VwVNwmTJzt0ig2raCD_S4VjiQ7l8ucWPHzShIrE5Y3XiAuwolMYodUer5Q3X_NLho5SXPmwUMKQsj1aTuBUN7-82CJc05f4gJfyFGl4y2njg/s640/BN646283.jpg)
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Uyui Mussa Ntmizi akifungua kikao hicho![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgm9gArcseVR29XD63Skw2GpHVP-fjo2IXtil26WI-5nzDYK-DqiEayQoA9hozR7WDXXVmGt3TJ-Y-533v2rTnatLZ_8purXkTUri_RcXeP8qRZpkUjuOoRK9M0asEE6Jg7Pq1RNA/s640/BN646289.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Uyui Mussa Ntimizi akimkabidi Ndugu Bulembo zawadi ya asali![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh155idvbTTvhmux4Py444f1S3_Ed_em1hZgabxToZ26xCDbqBArt3BcgLHd0k3so4eMyQ8q7PHmBA4XIgcnaX9nSLM08-RCGwKyiTsWOs8Ug8Rnwa9gCMxMuN9TNzXv7zcMni_Bg/s640/BN646305.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora, Hassan Wakasubi akitoa maelezo ya matumizi sahihi ya asali kwa Ndugu Bulembo![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhc0Svt0a8S-YEKSefst48fvidPpR9jAzSkI3qpaIdEkzuFjJf85rkS8zifMvbyTeTpSroZy-1WydgXSuBZarQg4ECidsoKfH18VtPQMaAMIgH5fdscE-1WyAckIvGXRNlPEOybpA/s640/BN646310.jpg)
Kikao kikiwa kimefurika wajumbe, wakati Ndugu Bulembo akizungumza![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBMXwgkvPNG04U4_BuZGRZaqZAoIwztx-TpKTkp9ZSiQIrL0RDbZLvGiiwgJ7CPOR3ZbXGJ5IYYCtcgAXlNdZpMedjInbyl9ZLwXhJyT-nkjvwlpFNb5y_qsWB1-0Hkko92yFpKg/s640/BN646327.jpg)
Wajumbe wa kikao hicho akifuatilia kwa makini![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdQIctAniKA38a1m0C-hGU317y_PijNg_JNbjOGi6kD6KHG5gyS5HQ74PoKdEVns0oPDGGhWUPukjljFZTHt0YomwGjSsl0m82Mex99arxgdwA_EgcXE7yilntG280Uo8VsRgQ-g/s640/BN646382.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya za Uyui na Tabora mjini, Viongozi wa CCM na watendaji wa Serikali, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Tabora, leo.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyLjLq_Pifrh75LI2GG1u8olwPcj3_z6w5wIFKhQd7jq_BvD0N8fDhHB6xq8IBb0YLSp5WqO4fb3ZFOI11w6srI2Lw3ZpXNg-2Cpr5Ejw__2bLeqq6_2zYjK_rQxR-X6Yt7x1CNw/s640/BN646399.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya za Uyui na Tabora mjini, Viongozi wa CCM na watendaji wa Serikali, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Tabora, leo.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-__eHkmLv6d75e-HW0t0qePVBNY-kfLecHaDTXOplwt0ZwjbY5wxxGI1NEvTUEZkp-0_hq2VqF64_7IbRgHGI1YTTybEQcbyRb1mcuqO_HXwV9F_C8T8_OIbyCgc5JPqAnmcy3A/s640/BN646406.jpg)
Madiwani wa Tabora mjini wakishangilia![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgElXQAIS_RH2yHdFL7S9a90bHOHXgPLVaUkiaE4m8TGvmHc6v3qR9FhGcmhq1aQzxUM7sGtbQj8tyHc6RcHtfaKssFVwXXZWlEDdf8iz77FhjUaHfB3M_VIGC4bBQtZUNrzH80xg/s640/BN646410.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akisisitiza jambo wakati akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya za Uyui na Tabora mjini, Viongozi wa CCM na watendaji wa Serikali, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Tabora, leo.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjt5Ru8qg0-eI46fqXuZEHc3ZvbMi0h3dAeaxmJgcyALaO6dy0Zp3-kHDDV1NCoNCp6wW8HqH3CQM12QV2mzXp5Br-3xcaJcISShWvwPDokmK44QXbeQNaG8ZSWmyg6QoDeWiVD2A/s640/BN646424.jpg)
Ndugu Bulemo akisisitiza jambo![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhb6BqMILChgYdKMZK-FfxYIuKfy14H8eIgClBcaenFnUDc-hN8P-2ygyw4vwMNaGqELCw_XOA_t0NIjYG6Xnj6Qb9b8_ThzT_lKdZuUDAvFmzrDys2b8nJoh3jv_uq9n6NI4l8uw/s640/BN646428.jpg)
Madiwani wa Uyui wakisimama kuulizwa maswali na ndugu Bulembo![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQTKX9vypPv-TNQc2eBHeze_WP_pOjrdANpiAXxIl3mv89Uw5nX-EMDtjFCxdmKVQ2SRcgamxYwVS9rO-2JGoZKATIBvDs7cke1VEhLSVEYYbZVulRNBKhTrf954YtmZQTlI6YcA/s640/BN646430.jpg)
Mmoja wa wajumbe akifuatilia kwa makini kila kinachoendelea kwenye mkutano huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAB-xF4s-NW1_rXAr3I1e6dKvpNUFv7ENlkSwSpekmpeXDyGBsJnNy4pmOBU2s2k9wCQyBepW9ne87mmG4RvVwAnRfEb4VoR5XG-yRYrNHlGTS1bg1jBP_ODf1_wGdRC_5GfmuiQ/s640/BN646434.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbklwMiNCfP_TUjqUgVFIxXwcSh3HHihYPX3rDpjIP3A-whX1qP8AOZqzEbhzb2bh0OY6JfJa3BFsAteAd_deOUNAKtAuT8CPkaMg3lrIIhZY2RF0RKIAVdlrE3qu1EAeuwqFIFg/s640/BN646439.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMd2qZifo4Drmsrscnf9STQ5Xqt9-zlguzq-c9Zxjgq3teb9aBFvkWV7EJKg6J1hdZ9AYWMcY2n6qblv2YdO23QW0uQToJx0pGecwGepgokXyfgl_7feqSrEHW-PNxhJpFzcBjpw/s640/BN646444.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akitoa ufafanuzi na kutoa maelekezo au maagizokuhusu maswali na kero zilizoulizwa na wajumbe kwenye kikao hicho, leo. Picha zote na Bashir Nkoromo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiqRiiXkjLBVvPs73wP_10a42JTeAIjDStPtPs1-loS7Ux0W4H7V4ags94rJczROPZOLc89arcdisUcOZlaxZ8VH5c098M9sNAmw0pwkvXRAAzokd8cZ_CCVjVJsniMo3KaMtI1mg/s640/BN646149.jpg)
" Ndugu Bulembo Kazi hii ya Ukuu wa mkoa naipenda sana, hasa kwa sababu nasimamia ilani ya Chama changu, kwa niaba ya Wananchi wa mkoa huu, mpelekee Salaam, Mwenyetiki wetu, Rais Dk Magufuli, kwamba Tabora tunampongeza kwa kazi nzuri anazofanya, mwambie tuna imani naye na tutazidi kumuunga mkono", akisema, Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggry Mwanri alipotambulishwa kwenye kikao hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi63GYbNsWGThshmV99vmJzn9g68l9njL9JrddDxiSjE0hk7sE6QeZQ-jKgn26t1aFyk4uju8hdymfH1QnOa5Tbpaf-liEJ-ByACLP4sgnDncvaWkpzEo0VPWfshQ4Bq961Fdxs_A/s640/BN646173.jpg)
Wajumbe wakionyesha bashasha na furaha kwenye kikao hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrc65bZoF-U5mV_uvOQNNXyjKN2VY4iWvYXSMv9Fa58PF8kPey7Wj7x8bXTENv23vxjw3cHd4e_rFIxNqSZHUqN9VW38i00bSI7d52gEG0fwcCW6j4VnrBgfS1GUxFXon8k-bIxg/s640/BN646184.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggry Mwanri akimtambulisha Mkuu wa Wilaya ya Tabora mjini, Mwalimu Queen Mwanshinga Mlozi, wakati wa mkutano huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcpG3OfqkQ_GAAAkR-ETCJKagwOL1i4GbTBxUP2abhKmEqKtKByRkrKRyRa1Kl4SR6v9G8KvQDOZwjtJcNqCgGmNFBNiQnqrxxuth4lyj05tc9Ej5-YkX9ZdR6AA29CBx0ymxsMw/s640/BN646192.jpg)
Mkuu huyo wa Wilaya ya Tabora mjini akisalimia kabla ya kuangusha kigeregere cha aina yake ambacho kilisababisha wajumbe kushangilia kwa uhodari wake
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhP_aSPIMFknJA38yJiFQfOQNnRh8RCxosJITPn_92VHaeL_IX4CTZkD9lcw_HYGruw3zSTu8AEaMa0TZgEQk1nvrHnwpQxXlMKVdaVXff1Lb814iM4vAeMS6whwIaUUr4h2JwwVg/s640/BN646196.jpg)
Kisha Mkuu huyo wa Wilaya ya Tabora mjini akahakinikiza kigeregere chake kwa kupiga magiti
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi0E04PCFTSwHP7Io1pDlpgJg3SiZiZDm66CsTiGkCMibxc0Me_QQTp_8E00muAtiN0dHZCLzgjYD4yUeTrb0nf_EDaL6r1NEQYRpbZSAVLscK84GMFSnPFd5ReBa-9LwNEBtWkWA/s640/BN646219.jpg)
Katibu wa Siasa na Oganaizesheni wa Jumuia ya Wazazi Makao Makuu, Ndugu Mgaya akisalimia wananchi baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgXPNxZJDq0KjNzc_au20dEsItkgE58VHsVzniCMIcTzTbaS3kMxKCn5hbANLIUFk_Xa8svQruGEGSJEI6FAowIXJp3-mskn3I1Do0Rl86-KvtnTnfoLULxpBIKhTIT4MmYePOoow/s640/BN646230.jpg)
Msaidizi wa Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi, Ndugu Kalolo akisalimia baada ya kutambulishwa
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7_5oR3umosjpCRkJHHnYnoUuqtLcoG5rifH7U1iArnsA0avhK_uDFJ4MlELJ5ySNoc4wMA3QgDnjGRpjgzVd067XEWjXvSNlgtPWc-F3wOnQ3dlPLxwW7D2pXdLOV7WDV5hY1MA/s640/BN646235.jpg)
Kishaa arindima kwa wimbo wa hamasa wa kabila la Wanyamwezi na baadaye kuporomosha mashairi yaliyosababishwa wajumbe kulipuka kumshangilia
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgy78BWoKw12eI4Cecd4n9eyMyNOAT5L2n9eJzbnCoI06MEF_iO5n7dR11iMUQE0KRZmyB_FeTw_twNhAuQ33Q3PhmNA-6iDlGoWnwXHyXSryTlaN-iNQ3ZMUouu3islpA-YnQUMg/s640/BN646253.jpg)
Wajumbe wakiwa wamesimama wakati Mchungaji Elias Mbagatwa alipokuwa akitoa dua maalum ya kumuombea Mwenyekiti wa CCM Rais Dk John Magufuli Mungu amjalie kuendelea kuchapa kazi na afya njema, wakati wa kikao hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS40nJH9Qc-AJPSO7Gm5s4rptYkzsEF08_ryiAgB-nKWPrxEhLFJHtxqRZ0hn0xEBT4VxbWSbRq0C529p43FbZVSOb5vFnye6-UAcK0AgVwfaDDfO1hB5S4EjlI9gYjP0geu9yEQ/s640/BN646258.jpg)
Mchuangaji Elias akiendelea na dua hiyo. Kushoto ni Mjumbe wa Kati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Ndugu Bulembo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggpRjVRlCqOxfctaGMp9dosumnJWXbwoW6dOzwlae-RUwzDycilW1FYiWA-w36EM1q1GIpnyT_OOuuYVd2BXYCzhzA4MNvCzPtAVwkEaamFs8jXP4c4RiH51Y-aqJNbdn_b09-pw/s640/BN646272.jpg)
Sheikh Hussein Mkamilwa wa Bakwata mkoani Tabora akiomba dua ya kubariki kikao kabla hakijaanza
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrKRIlX97SuzX4jtrKKE-VjhRRC2VwVNwmTJzt0ig2raCD_S4VjiQ7l8ucWPHzShIrE5Y3XiAuwolMYodUer5Q3X_NLho5SXPmwUMKQsj1aTuBUN7-82CJc05f4gJfyFGl4y2njg/s640/BN646283.jpg)
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Uyui Mussa Ntmizi akifungua kikao hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgm9gArcseVR29XD63Skw2GpHVP-fjo2IXtil26WI-5nzDYK-DqiEayQoA9hozR7WDXXVmGt3TJ-Y-533v2rTnatLZ_8purXkTUri_RcXeP8qRZpkUjuOoRK9M0asEE6Jg7Pq1RNA/s640/BN646289.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Uyui Mussa Ntimizi akimkabidi Ndugu Bulembo zawadi ya asali
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh155idvbTTvhmux4Py444f1S3_Ed_em1hZgabxToZ26xCDbqBArt3BcgLHd0k3so4eMyQ8q7PHmBA4XIgcnaX9nSLM08-RCGwKyiTsWOs8Ug8Rnwa9gCMxMuN9TNzXv7zcMni_Bg/s640/BN646305.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora, Hassan Wakasubi akitoa maelezo ya matumizi sahihi ya asali kwa Ndugu Bulembo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhc0Svt0a8S-YEKSefst48fvidPpR9jAzSkI3qpaIdEkzuFjJf85rkS8zifMvbyTeTpSroZy-1WydgXSuBZarQg4ECidsoKfH18VtPQMaAMIgH5fdscE-1WyAckIvGXRNlPEOybpA/s640/BN646310.jpg)
Kikao kikiwa kimefurika wajumbe, wakati Ndugu Bulembo akizungumza
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBMXwgkvPNG04U4_BuZGRZaqZAoIwztx-TpKTkp9ZSiQIrL0RDbZLvGiiwgJ7CPOR3ZbXGJ5IYYCtcgAXlNdZpMedjInbyl9ZLwXhJyT-nkjvwlpFNb5y_qsWB1-0Hkko92yFpKg/s640/BN646327.jpg)
Wajumbe wa kikao hicho akifuatilia kwa makini
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdQIctAniKA38a1m0C-hGU317y_PijNg_JNbjOGi6kD6KHG5gyS5HQ74PoKdEVns0oPDGGhWUPukjljFZTHt0YomwGjSsl0m82Mex99arxgdwA_EgcXE7yilntG280Uo8VsRgQ-g/s640/BN646382.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya za Uyui na Tabora mjini, Viongozi wa CCM na watendaji wa Serikali, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Tabora, leo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyLjLq_Pifrh75LI2GG1u8olwPcj3_z6w5wIFKhQd7jq_BvD0N8fDhHB6xq8IBb0YLSp5WqO4fb3ZFOI11w6srI2Lw3ZpXNg-2Cpr5Ejw__2bLeqq6_2zYjK_rQxR-X6Yt7x1CNw/s640/BN646399.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya za Uyui na Tabora mjini, Viongozi wa CCM na watendaji wa Serikali, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Tabora, leo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-__eHkmLv6d75e-HW0t0qePVBNY-kfLecHaDTXOplwt0ZwjbY5wxxGI1NEvTUEZkp-0_hq2VqF64_7IbRgHGI1YTTybEQcbyRb1mcuqO_HXwV9F_C8T8_OIbyCgc5JPqAnmcy3A/s640/BN646406.jpg)
Madiwani wa Tabora mjini wakishangilia
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgElXQAIS_RH2yHdFL7S9a90bHOHXgPLVaUkiaE4m8TGvmHc6v3qR9FhGcmhq1aQzxUM7sGtbQj8tyHc6RcHtfaKssFVwXXZWlEDdf8iz77FhjUaHfB3M_VIGC4bBQtZUNrzH80xg/s640/BN646410.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akisisitiza jambo wakati akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wa Wilaya za Uyui na Tabora mjini, Viongozi wa CCM na watendaji wa Serikali, katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, akiwa katika ziara ya kikazi katika mkoa wa Tabora, leo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjt5Ru8qg0-eI46fqXuZEHc3ZvbMi0h3dAeaxmJgcyALaO6dy0Zp3-kHDDV1NCoNCp6wW8HqH3CQM12QV2mzXp5Br-3xcaJcISShWvwPDokmK44QXbeQNaG8ZSWmyg6QoDeWiVD2A/s640/BN646424.jpg)
Ndugu Bulemo akisisitiza jambo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhb6BqMILChgYdKMZK-FfxYIuKfy14H8eIgClBcaenFnUDc-hN8P-2ygyw4vwMNaGqELCw_XOA_t0NIjYG6Xnj6Qb9b8_ThzT_lKdZuUDAvFmzrDys2b8nJoh3jv_uq9n6NI4l8uw/s640/BN646428.jpg)
Madiwani wa Uyui wakisimama kuulizwa maswali na ndugu Bulembo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQTKX9vypPv-TNQc2eBHeze_WP_pOjrdANpiAXxIl3mv89Uw5nX-EMDtjFCxdmKVQ2SRcgamxYwVS9rO-2JGoZKATIBvDs7cke1VEhLSVEYYbZVulRNBKhTrf954YtmZQTlI6YcA/s640/BN646430.jpg)
Mmoja wa wajumbe akifuatilia kwa makini kila kinachoendelea kwenye mkutano huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAB-xF4s-NW1_rXAr3I1e6dKvpNUFv7ENlkSwSpekmpeXDyGBsJnNy4pmOBU2s2k9wCQyBepW9ne87mmG4RvVwAnRfEb4VoR5XG-yRYrNHlGTS1bg1jBP_ODf1_wGdRC_5GfmuiQ/s640/BN646434.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbklwMiNCfP_TUjqUgVFIxXwcSh3HHihYPX3rDpjIP3A-whX1qP8AOZqzEbhzb2bh0OY6JfJa3BFsAteAd_deOUNAKtAuT8CPkaMg3lrIIhZY2RF0RKIAVdlrE3qu1EAeuwqFIFg/s640/BN646439.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMd2qZifo4Drmsrscnf9STQ5Xqt9-zlguzq-c9Zxjgq3teb9aBFvkWV7EJKg6J1hdZ9AYWMcY2n6qblv2YdO23QW0uQToJx0pGecwGepgokXyfgl_7feqSrEHW-PNxhJpFzcBjpw/s640/BN646444.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdalla Bulembo akitoa ufafanuzi na kutoa maelekezo au maagizokuhusu maswali na kero zilizoulizwa na wajumbe kwenye kikao hicho, leo. Picha zote na Bashir Nkoromo
0 maoni:
Post a Comment