Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Mkuu wa mkoa wa manyara Joel Bendera Azindua Kampeni ya Upandaji Miti Mirerani

Mkuu wa mkoa wa manyara mh Joel Bendera amewataka wananchi wa mji mdogo wa mererani kutuza mazingira kwa kupanda mti ili kuondokana na tatizo la mvua ambalo litasababisha njaa kitaifa
Mkuu wa mkoa manyara mh Joel Bendera akipanda mti katika shele ya sekondari Mirerani B.W.Mkapa
 
Akizungumza na wananchi katika  ziara yake ya siku moja katika mji mdogo wa mirerani na mh joel benderaa amesema lazima nchi ijifunze kwa kupitia manyara kwamba mazingira ni muhimu hivyo amezindua kampeni ya kupanda miti katika shule ya sekondari ya mireran b.w mkapa yenye ushindani wakutuza mti
   Aidha kampuni ya Tanzanite one imeanzisha kampeni ya upandaji miti kwa kupanda miche ya miti elfu moja na mia mbili kama shamba darasa,katika shule ya sekondari mirerani benjamini wiliamu mkapa na kuwataka wanafunzi kutunza miti hiyo kwa ushindani na mshindi wakwanza mpaka watatu atapewa zawadi ambapo lengo ni kutunza mazingira
Mkurugenzi Mbia Tanzanite One ndg Faisal Juna Shahbhai akipanda mti katika shule ya sekondari Mirerani B.W.Mkapa 
Kwa upande wa wawalimu na wanafunzi wa shule ya sekondari wanashukuru ujio wa mkuu wa mkoa wa manyara na uongozi wa tanzanite one katika shule yao kwa kutaa baadhi ya changamoto zilizokuwa zinawakabili ambapo moja ni ujenzi wa fensi katika shule hiyo ili kudhibiti mifugo kuingia ndani ya shule
Mkuu wa mkoa wa mananyara mh joel bendera amefanya ziara yake ya siku moja huko mirerani kwa kuzindua na kukagua miradi mbalimbali ya ujenzi wa shule ya msingi songambele, uzinduzi wa kampeni ya kupanda mitikatika shule ya mireran b.w.mkapa, ukaguzi wa kituo cha mama na mototo katika kituo cha afya mirerani na kupongeza shughuli za makimaendeleo zinazoendelea katika mji huoo
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO