Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MSD YANG'ARA SHEREHE ZA MEI MOSI KITAIFA MKOANI KILIMANJARO






Rais John Magufuli akimkabidhi zawadi Mfanyakazi Bora wa Bohari ya Dawa (MSD), 2016/2017, Juma Kiongozi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro leo. Kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kushoto ni  Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama. 


Wafanyakazi wa MSD Kanda ya Kaskazini wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais John Magufuli na viongozi wengine wakati wa maadhimisho hayo.

 
 Mfanyakazi Bora wa Bohari ya Dawa (MSD), 2016/2017, Juma Kiongozi  (katikati), akitoka kupokea zawadi yake.
 Wafanyakazi wa MSD Kanda ya Kaskazini wakiwa tayari 
kwa maandamano.
Maandamano kuelekea jukwaa kuu alipo mgeni rasmi Rais John Magufuli.
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)




Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO