Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Sumaye awaongoza wenzake katika Kikao na Wabunge wa Kanda ya Pwani ya CHADEMA

Uongozi wa Kanda ya Pwani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ukiwa na kikao na waheshimiwa wabunge wa wa chama hicho Kanda ya Pwani kwenye ofisi ya Kiongozi wa Kambi ya  Upinzani Bungeni mjini Dodoma leo.

Kanda hiyo ya uongozi kichama inaongozwa na Mwenyekiti wake ni Waziri Mkuu Mstaafu Mh Frederick Tluway Sumaye.

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO