Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MH FREEMAN MBOWE AKUTANA KWA DHARURA NA MKUU WA JUMUIYA YA ULAYA NCHINI

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amefanya mazungumzo ya Faragha na Mkuu wa Jumuiya ya Ulaya (EU) nchini, Balozi Filiberto Ceriani Sebregondi. Viongozi hao walikutana kwa ajili ya mazungumzo kwenye kikao kifupi, juzi jioni, mjini Dodoma, kujadili masuala mbalimbali nchini.Mbowe amekutana na kiongozi huyo huku kukiwa na sintofahamu kubwa kati ya Spika Anne Makinda na wabunge wa CHADEMA katika kile kinachopingwa na chama hicho kutokana na uonevu wa waziwazi unaoonyeshwa na kiti cha spika kwa wabunge wa CHADEMA.

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO