Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Taswira: Mkutano wa Uzinduzi wa Uongozi wa Majimbo Chadema, Kanda ya Kaskazini (Mikoa ya Tanga, Arusha, Kilimanjraro na Manyara); Mbowe Akemea Udini Unaopandikizwa

DSCN7845Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe akihutubia wananchi waliojitokeza katika mkutano mkubwa wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha jana katika viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenaro katika Uzinduzi rasmi wa Kanda ya Kaskazini ya kiutawala kwa chama hicho, Kanda inayounganisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na na Manyara.

DSCN7849Mh Mbowe akihutubia.. Mkutano huo pia ulihudhuriwa na wabunge wote wa Chadema kutoka mikoa tajwa pamoja na viongozi wote na madiwani wa Chadema kutoka mikoa hiyo.

DSCN7796Baadhi wa Kina Mama Wabunge wa Chadema na Viongozi wakifuatilia hotuba katika mkutano huo. Kutoka kushoto ni Mhe Rose Kamili, Mh Cecilia Pareso, Mh Grace Kihwelu na Mh Cecilia Ndosi.

DSCN7798Dua/Sala kabla ya kuanza Mkutano

DSCN7804Mzee Fundikira mwenye umri wa miaka 95 akihutubia mkutanoni hapo.. Mzee huyu anasema alikuwa kwenye siasa tangu enzi za TANU lakini sasa yuko Chadema na kuwasihi wazee wenzake kutosita kujiunga na chama hicho.

DSCN7815Mbunge wa Rombo Mh Joseph Selasini

DSCN7810Mh Rose Kamili akisalimia wananchi

DSCN7858Sehemu ya mahudhurio

DSCN7825Mbunge wa Arusha Mjini, Mh Godbless Lema akifafanua jambo mkutanoni hapo

DSCN7795Meza kuu

DSCN7833Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, Mh Israel Natse, Mbunge wa Karatu akihutubia

DSCN7819Baadhi ya waandishi wa habari wakiwajibika. Mwanahabari wa Jamii Blog ya Jijini Arusha, Pamella Mollel akiwa miongoni mwao

DSCN7818Mbunge wa Arumeru Mashariki, Mh Joshua Nassari nae alipata wasaa wa kuzungumza ambapo alieleza namna wanavyopata ukinzani Bungeni na jinsi walivyojipanga kukabiliana na hali hiyo.

DSCN7852Katibu wa Muda wa Kanda ya Kaskazini ambae pia ni Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Mh Amani Golugwa akifuatilia hotiba

DSCN7854Mzee Fundikira na baadhi ya madiwani wa Chadema

DSCN7786

DSCN7855Mdau wa Blog hii , Imma Munisi (mwenye shati jeusi) akiwa miongoni mwa waalikwa na makamanda wengine wa Chadema, Chris na Kamnde.

DSCN7862Sehemu yalikopaki magari ya waheshimiwa wabunge na viongozi wa Chadema

DSCN7869Bosi wa Blogu hii (katikati) akipiga stori na wanachadema mara baada ya mkutano kuisha

DSCN7793

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO