Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

RPC Arusha akutana na waendesha Bodaboda kusaidia Ulinzi Shirikishi

RPC Arusha akutana na waendesha Bodaboda kusaidia Ulinzi Shirikishi

Baadhi ya waendesha pikipiki za kubeba abiria Jijini Arusha maarufu kama bodaboda wakiwa katika kikao cha dharula na RPC Sabas katika mjada...
Soma Zaidi
IJUE SAFU MPYA YA KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA (SEKRETARIETI) YA CHAMA CHA WANANCHI CUF

IJUE SAFU MPYA YA KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA (SEKRETARIETI) YA CHAMA CHA WANANCHI CUF

--- 1. Naibu Katibu Mkuu (Bara), Mhe. Magdalena Sakaya. 2. Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Mhe. Nassor Ahmed Mazrui. 3. Mkurugenzi wa Mipa...
Soma Zaidi
KITAA WEAR YA MIKE T IKO MTAANI… ANGALIA UBUNIFU HUU

KITAA WEAR YA MIKE T IKO MTAANI… ANGALIA UBUNIFU HUU

  Kama umependa KITAA wear cheki na.. -- Mike Mwakatundu Marketing Manager SHOWBIZ DEFINED MEDIA Co. Limited, P.O.Box 6380, Magome...
Soma Zaidi
Msafiri Mtemelwa aomba kuondoka CHADEMA; Hali si shwari tena kwake

Msafiri Mtemelwa aomba kuondoka CHADEMA; Hali si shwari tena kwake

Msafiri Mtemelwa (pichani) aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Kampeni na Uchaguzi CHADEMA, ameomba kuondoka rasmi kwenye chama hicho....
Soma Zaidi
TASWIRA: VIONGOZI NA WATAALAM WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO WAKAGUA MAENDELEO MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA

TASWIRA: VIONGOZI NA WATAALAM WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO WAKAGUA MAENDELEO MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA

Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (wa pili kulia), akipata maelezo juu ya Mradi wa Makaa ya Mawe Mchuchu...
Soma Zaidi

Magdalena Sakaya (Mb) Ndiye Naibu Katibu Mkuu Mpya wa CUF Bara; Mtatiro Ammwagia Sifa Kemkem

Kufuatia kupitishwa kwa Mh Magdalena Sakaya kuchukua nafasi ya Julius Mtatiro kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Mtatiro amea...
Soma Zaidi
Mshindi Redds Miss Arusha City Centre Apatikana

Mshindi Redds Miss Arusha City Centre Apatikana

Hatimaye kitendawili cha nani ataibuka kuwa mshindi wa Redds Miss Arusha 2014 kimepata jibu baada ya mrembo.... kutoka....kuibuka mshindi dh...
Soma Zaidi
BBC - UK yakumbwa na uhaba wa mbegu za kiume

BBC - UK yakumbwa na uhaba wa mbegu za kiume

Uingereza inakabiliwa na upungufu wa Mbegu za kiume hali ambayo huenda ikalazimu kiliniki za matibabu ya uzazi nchini humo kuchukua mbegu...
Soma Zaidi

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO