Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: MAMA REGINA LOWASSA ALIVYOSHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA

Mama Regina Lowassa akimlisha Keki Mumewe,Mh. Edward Lowassa

Mke wa Waziri Mkuu Msaafu (Mh. Edward Lowassa),Mama Regina Lowassa (kushoto) akimsikiliza kwa makini Dada yake mkubwa wakati akizungumza machache kwenye hafla fupi ya kusherehekea kuadhimisha miaka 60 ya kuzaliwa kwake iliyofanyika leo nyumbani kwake,Masaki jijini Dar es salaam.


Mama Regina Lowassa akiwa na Marafiki zake wakati hafla hiyo ikiendelea.

Mama Regina Lowassa akipokea zawadi ya Kitabu kutoka kwa mmoja wa Marafiki zake waliohudhulia hafla hiyo.

Wajukuu wakimpongeza Bibi yao.

Mmoja wa wajukuu akitoa burudani.




Watoto wa Mh. Edward na Mama Regina Lowassa,Adda (kushoto) na Pamela Lowassa wakiimba wimbo maalum wa kumpongeza Mama yao kwa kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake.

Adda akiimba kwa hisia kali.





Mama Regina Lowassa akikata keki.

Mh. Lowassa nae akalisha keki Mkewe.

Wajukuu wakila keki.

Muda wa kufungua Shampein ukawadia.








 

PICHA NA TAARIFA: RWEYEMAMU INFO

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO