Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

RPC Arusha akutana na waendesha Bodaboda kusaidia Ulinzi Shirikishi

20140630_103112

Baadhi ya waendesha pikipiki za kubeba abiria Jijini Arusha maarufu kama bodaboda wakiwa katika kikao cha dharula na RPC Sabas katika mjadala uliofanyika Ofisi ya Kata ya Ololrieni ukilenga kuoba ushirikiano wa maswala ya usalama baina ya waendeshaji hao ili kufanikisha ushirikiano baina ya Jeshi la Polisi na wananchi wema katika kuzuia uhalifu Jijini Arusha kupitia mradi wa Ulinzi Shirikishi.20140630_104917

 

20140630_104751

Baada ya kikao waokiondoka kurejea vituoni kwao.

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO