Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

UDSM WAZIJADILI SHERIA ZA TAKWIMU NA MAKOSA YA MITANDAONI, ZINAZUIA UHURU WA TAALUMA NA KUPAHSNA HABAR

 

5.Viongoziwaliokuwawakiendeshamdaharohuomezakuu.Viongozi waliokuwa wakiendesha mdahalo huo wakiwa meza kuu.

Dr. Kitila Mkumbo akichangia mdahalo huo.Mmoja wa wananchi akichangia majadiliano hayo.

Wananchi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliohudhuria mdahalo huo.

Mdahalo ukiendelea. 

JUMUIYA ya wanataaluma wa Chuko Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana walifanya mkutano kuhusu athari za sheria ya takwimu na sheria ya makosa ya mtandaoni za mwaka 2015 ili kupata maoni mbalimbali juu ya sheria ya uhuru wa vyombo vya habari.

Mdahalo huo uliofanyika ukumbi wa Nkrumah wengi wao walichangia juu ya maboresho ya mswada wa sheria hiyo iliyojadiliwa bungeni kwamba iwapo Rais Kikwete atasaini sheria hiyo, ni dhahiri itawanyima uhuru na haki za msingi wanahabari na asasi za raia katika kutoa mchango wake wa utoaji maoni.

Walimtaka rais asisaini miswada hiyo kuwa sheria.

(PICHA/STORI:DENIS MTIMA/GPL)

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO