Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE BUHINGWE KIGOMA

 

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Kibande,kwenye mkutano wa hadhara wilayani Buhigwe mkoani Kigoma

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa chama cha CNDD-FDD,Mkoa wa Makamba nchini Burundi,Bwa.Nishimwe Zen,kabla ya mkutano wa hadhara kufanyika katika kijiji cha Kibande,wilayani Buhigwe mkoani Kigoma.

Wanachama waliohamia chama cha CCM wakionesha kadi zao ambazo walimkabidhi Katibu Mkuu wa CCM,na kukabidhiwa kadi mpya za CCM.

Sehemu ya Wanachama wapya waliojiunga na CCM,wapatao zaidi ya 300 wakila kiapomara baada ya mkutano wa hadhara kufanyika katika kijiji cha Kibande,wilayani Buhigwe mkoani Kigoma.

Baadhi ya Wakazi wa kijiji cha Mnanila-Manyovu wakishangilia jambo wakati katibu MKuu wa CCM,Ndugu Kinana alipowahutubia

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akiwahutubia baadhi ya Wakazi wa kijiji cha Mnanila-Manyovu

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Mnanila-Manyovu .

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizungumza na Kamati ya Siasa Wilaya ya Buhingwe na kupata taarifa mbalimbali za maendeleo.

Mkurugenzi wa Maendeleo wa Halmashauri ya Buhigwe,Kaondo Julius pamoja na Afisa Mipango,Charles Mduma wakitoa ufafanuzi mfupi kwa Waandishi wa habari kuhusiana na taarifa ya Maendeleo ya Wilya ya Buhingwe iliyotolewa kwa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Manyovu-Wilaya ya Buhigwe.Mh Albert Obama,mara baada ya kumaliza kikao cha siasa cha wilaya

Baadhi ya Wakazi wa Buhigwe wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipowasili wilayani humo mkoani Kigoma.

Ndugu Kinana akizungumza jambo na baadhi ya Wananchi wa Buhingwe huku wakimsilikiza kwa makini.

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO