Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

MWIZI WA VIOO VYA MAGARI ABAMBWA ARUSHA NA KUPEWA KICHAPO

10170939_10152290823406422_7501553892553148984_nWaswahili wanamsemao kuwa ‘za mwizi ni 40’
Pichani ni kijana mmoja aliyakamatwa akiiba side mirror katika moja ya magari yaliyoegeshwa eneo la Mc Moodys – Friends Corner na kuishia kushushiwa kipigo kikali. Wizi wa vifaa vya magari umekuwa ukilalamikiwa na wamiliki wa magari kwa muda mrefu. Kwa siku za karibuni wizi huu umeanza kuenea maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha na hivyo kuilazimu jamii kuishi kwa mashaka na magari yao pindi wayaachapo mjini kwenye maeneo ya maegesho.

Picha na Mariam Luther

Washirikishe Google Plus

About SeriaJr

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO