Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

DC MAKONDA NA MBOWE WAMALIZA MGOMOWA MADAREVA; MBOWE AMFUNDISHA KAZI PINDA

Add caption

PICHANI NI MWENYEKITI WA CHAMA CHA DEMOKRSIA NA MAENDELEO FREEMAN BOWE AKIZUNGUMZA NA MADEREVA MBALIMBALI UBUNGO LEO

Mwenyekiti wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA mh FREMAN MBOWE amewasili leo katika stend ya mabas ubungo kuzungumza na madereva ambao walikuwa wakiendeah mgomo wa kuwataka serikali iwasikilize shida zao.mh Mbowe ambaye aliwasili hapa majira ya saa nne kasoroo asubuhi alijikuta katika wakati mgumu baada ya wananchi kumshangilia kwa nguvu huku wengine wakifuta barabara ili gari yake ipite huku nyimbo zza ukawa zikiimbwa,jambo ambalo lilizua taharuki katika eneo hilo.Mh mbowe alipata nafasi ya kuzungumza na viongozi wa madereva hao.aidha viongozi kadhaa wa serikali waliokuwa katika eneo hilo walionekana kuzomewa na kutokuaminika na madereva hao.

Kuhusu mgomo huo Mkuu wa wilaya ya kinondoni mh PAUL MAKONDA amewaomba madereva hao kuendelea na kazi na ndani ya siku saba serikali itakua tayari imeshatoa tamko.

Madereva hao wamekubali kuanza safari kwa sharti la ndani ya siku saba wawe wamesikilizwa kero zao.MH MBOWE alipotaka kuzngumza na madereva hao microfone zote zilizimwa na kufichwa kusikojulikana jambo ambalo lilifanya ashindwe kusikika kwa madereva hao na kuamua kumtoa nje na kusukuma gari yake hadi maeneo ya shekilango na kurudi opfisini.Taarifa ni kuwa mgomo huo umekwishwa na magari hapa ubungo yameanza kutoka.

 

CREDIT: JAFE MALIBENEKE

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO