Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR, MH OMAR YUSUPH MZEE AWASILISHA BAJETI YA MWAKA 2015/16

Waziri wa Fedha akiinua Begi lenye Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakati akiingia katika ukumbi wa mkutano kuwasilisha Hutuba ya Bajeti leo jioni katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Chukwani.


     Waziri wa Fedha akiwasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi akishuka katika gari yake.


Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akishindikizwa na Askari wa Baraza kuingia katika ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya kusoma Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo jioni.

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee akisoma Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakati wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Kikao cha Bajeti kwa kimeaza leo kwa kusomwa Bajeti ya Mwaka 2015-2016.

CHANZO : ZANZNEWS

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO