Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

NI RASMI SASS: CHELSEA BINGWA ENGLAND

Chelsea sasa ni mabingwa rasmi wa Ligi Kuu England ikiwa ni baada ya kuifunga Crystal Palace kwa bao 1-0.

Katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Stamford Bridge maarufu kama darajani, Chelsea walipata bao lao kupitia kwa Eden Hazard ambaye alipiga mkwaju wa penalti ukaokolewa na kipa lakini mpira ukamputa yeye ambaye aliumalizia kwa kichwa.

Kwa ushindi huo, Chelsea imefikisha pointi 83 ambazo hazitafikiwa na timu nyingine yoyote.


Chelsea: Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Fabregas, Matic, Cuadrado (Mikel, 45), Willian (Zouma, 85), Hazard (Filipe Luis, 92), Drogba.

Subs: Cech, Ake, Remy, Loftus-Cheek.

Scorer: Hazard, 45.

Booked: Ivanovic, Terry

Crystal Palace: Speroni, Mariappa (Kelly, 60), Dann, Delaney, Ward, Puncheon (Sanogo, 71), McArthur, Ledley, Zaha, Mutch (Murray, 61), Bolasie.

Subs: Hangeland, Hennessey, Jedinak, Lee.

Booked: Mariappa, Dann.

Referee: Kevin Friend (Leicestershire)



PICHA NA VYANZO VYA KIMATAIFA

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO