Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

TASWIRA: NASSARI NA MANGUNGU WAKIFURAHIA JAMBO NA PM PINDA DODOMA

unnamed6

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge, Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki (kushoto) na Murtaza Mangungu wa Kilwa Kaskazini kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Kei 12, 2015. Wapili kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Florens Turuka na Kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Jumanne Sajini.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO