Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

DK. SHEIN AZINDUA BARAZA LA WAWAKILISHI LA 9 LEO ZANZIBAR

shei1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zubeir Ali Maulid mara alipowasili katika viwanja vya jengo la Baraza hilo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar leo kuzinduz Baraza la 9, [Picha na Ikulu.]
shei2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea salamu ya Heshma ya gwaride la kikosi cha FFU wakati wa Uzinduzi wa Baraza la 9 la Baraza la Wawakilishi  liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar leo,[Picha na Ikulu.]
shei3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la  kikosi cha FFU akiongozwa na Kamanda wa FFU Mjini Magharibi S.S.P Anani wakati wa Uzinduzi wa Baraza la 9 la Baraza la Wawakilishi  liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar leo,[Picha na Ikulu.]

shei4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitia saini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Baraza la Wawakilishi alipofika kulizindua Baraza la 9  la Baraza la 9 la Wawakilishi Baraza la  liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar leo(kulia) Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe,Zubeir Ali Maulid,[Picha na Ikulu.]
shei5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(katikati) akiongoza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe,Zubeir Ali Maulid (mbele)na Katibu wa Baraza hilo wakati wakiingia katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbeni nje ya Mji wa Zanzibar leo kabla ya kulizindua baraza hilo la 9,[Picha na Ikulu.]
shei6
Wajumbe wa baraza la Wawakilishi wakisimama wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipoingia katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar kabla ya kulizindua baraza la 9 leo, [Picha na Ikulu.]
shei7
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake leo katika uzinduzi wa Baraza la 9  katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa baraza hilo liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar, [Picha na Ikulu.]
shei8
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akiwapungia mkono Wajumbe wakati alipotambulishwa leo akiwa ni miongoni wa Viongozi walioalikwa katika hafla ya uzinduzi wa Baraza la 9 la baraza la Wawakilishi liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar, [Picha na Ikulu.]
shei9
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake leo katika uzinduzi wa Baraza la 9  katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa baraza hilo liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar, [Picha na Ikulu.]
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO