Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

SERIKALI YAWASILISHA MAPENDEKEZO YA KIWANGO NA UKOMO WA BAJETI KWA MWAKA 2016/17 (TRILIONI 29.5)


Waziri wa Fedha na Mpiango Dkt Philip Mipango akiwasilisha Mapendekezo ya kiwango na ukomo wa bajeti kwa mwaka 2016/17 wakati wa mkutano wa Wabunge wote uliofanyika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim akiongoza kikao cha Wabunge wote wakati Serikali ilipowasilisha mapendekezo ya kiwango na ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2016/17. Kulia kwake ni Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai na kushoto ni Naibu Spika Dkt Tulia Ackson.(Picha na Ofisi ya Bunge).
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza kabla ya Waziri wa Fedha na Mipango hajawasilisha Mapendekezo ya kiwango na ukomo wa Bajeti ya serikali kwa mwaka 2016/2017 wakati wa mkutano wa Wabunge wote uliofanyika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO