Tunakusogezea karibu habari na matukio, zaidi habari za kisiasa na utawala, matukio ya Arusha na maeneo jirani, bila kusahau na mambo mengineyo ya kitaifa yanayojiri katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu maendeleo na kuwa ya maslahi kwa watu wengi. Burudani na michezo pia havijasahaulika. Kizuri zaidi, unaweza kupata link ya Blogu nyingine na website muhimu hapa hapa kwa kuscroll mpaka chini. Karibu tuhabarike!

Man U yatolewa kombe la FA na Arsenal

130926124556_nacho_monreal__512x288_afp

Timu ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la FA baada ya kuwalaza mahasimu wao Manchester United kwa jumla ya mabao 2 -1.

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Danny Welbeck aliyerejea Old Trafford akiwa na Arsenal ndiye aliyepigilia msumari wa moto kwenye kidonda baada ya kupachicha goli la pili lililoipeleka moja kwa moja Arsenal kwenye hatua ya nusu fainali.

CHANZO: BBC SWAHILI

STORI ZAIDI HAPA

Washirikishe Google Plus

About Unknown

SeriaJr will keep you updated with all current political news countrywide "Ndiye "Bosi" Mzito Arusha255" Karibu Tuhabarike!.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

TANZANIA, THE HOME OF KILIMANJARO